Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye Ahithofeli akaona kwamba haikutendwa kulingana na shauri lake,+ naye akatandika punda, akaondoka na kwenda nyumbani kwake katika jiji lake.+ Kisha akawapa nyumba yake+ amri halafu akajinyonga,+ akafa.+ Basi akazikwa+ katika makaburi ya mababu zake.

  • Zaburi 55:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+

      Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+

      Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+

  • Matendo 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 (Kwa hiyo, mtu huyo alinunua+ shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu,+ akaanguka kichwa kwanza+ akapasuka kwa kelele katikati na matumbo yake yote yakamwagika nje.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki