Zaburi 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hakika Mungu atawahesabia hatia;+Wataanguka kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.+Na watawanywe katika wingi wa makosa yao,+Kwa sababu wamekuasi wewe.+ Zaburi 55:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+
10 Hakika Mungu atawahesabia hatia;+Wataanguka kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.+Na watawanywe katika wingi wa makosa yao,+Kwa sababu wamekuasi wewe.+
23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+