Zekaria 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo nikawaambia: “Ikiwa vema machoni penu,+ nipeni mshahara wangu; lakini kama sivyo, acheni.” Basi wakalipa mshahara wangu, vipande 30 vya fedha.+ Mathayo 26:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kusema: “Mtanipa nini ili nimsaliti kwenu?”+ Wakamwagizia vipande 30 vya fedha.+ 2 Petro 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wameiacha njia iliyo nyoofu, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu,+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+
12 Ndipo nikawaambia: “Ikiwa vema machoni penu,+ nipeni mshahara wangu; lakini kama sivyo, acheni.” Basi wakalipa mshahara wangu, vipande 30 vya fedha.+
15 Wameiacha njia iliyo nyoofu, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu,+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+