Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wanaume wazee wa Moabu na wanaume wazee wa Midiani wakasafiri wakiwa na malipo ya uaguzi+ mikononi mwao nao wakaenda kwa Balaamu+ na kumwambia maneno ya Balaki.

  • Hesabu 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kisha Balaamu akaondoka asubuhi, akamtandika punda-jike wake, akaenda pamoja na wakuu wa Moabu.+

  • Kumbukumbu la Torati 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Yehova Mungu wako hakutaka kumsikiliza Balaamu;+ lakini Yehova Mungu wako kwa ajili yako aligeuza ile laana ikawa baraka,+ kwa sababu Yehova Mungu wako alikupenda.+

  • Nehemia 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa maana hawakuwapokea wana wa Israeli kwa mkate+ na kwa maji,+ bali walimlipa Balaamu+ ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki