7 Basi wanaume wazee wa Moabu na wanaume wazee wa Midiani wakasafiri wakiwa na malipo ya uaguzi+ mikononi mwao nao wakaenda kwa Balaamu+ na kumwambia maneno ya Balaki.
5 Na Yehova Mungu wako hakutaka kumsikiliza Balaamu;+ lakini Yehova Mungu wako kwa ajili yako aligeuza ile laana ikawa baraka,+ kwa sababu Yehova Mungu wako alikupenda.+
2 kwa maana hawakuwapokea wana wa Israeli kwa mkate+ na kwa maji,+ bali walimlipa Balaamu+ ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+