5 Sasa akatuma wajumbe kwa Balaamu+ mwana wa Beori huko Pethori,+ kando ya Mto+ wa nchi ya wana wa watu wake, aitwe, na kusema: “Tazama! Watu wametoka Misri. Tazama! Wameijaza nchi kwa kadiri ambayo mtu anaweza kuona,+ nao wanakaa mbele yangu.
11 Ole wao, kwa sababu wamekwenda katika pito la Kaini,+ nao wamekimbia kuingia katika mwendo wenye kosa wa Balaamu+ ili kupata thawabu, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+
14 “ ‘Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaolishika sana fundisho la Balaamu,+ aliyemfundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, ili wale vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.+