Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sasa akatuma wajumbe kwa Balaamu+ mwana wa Beori huko Pethori,+ kando ya Mto+ wa nchi ya wana wa watu wake, aitwe, na kusema: “Tazama! Watu wametoka Misri. Tazama! Wameijaza nchi kwa kadiri ambayo mtu anaweza kuona,+ nao wanakaa mbele yangu.

  • Yuda 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ole wao, kwa sababu wamekwenda katika pito la Kaini,+ nao wamekimbia kuingia katika mwendo wenye kosa wa Balaamu+ ili kupata thawabu, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+

  • Ufunuo 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “ ‘Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaolishika sana fundisho la Balaamu,+ aliyemfundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, ili wale vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki