-
Ufunuo 2:14Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
14 “‘Hata hivyo, Nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaoshikilia sana ufundishaji wa Balaamu, aliyeenda akimfundisha Balaki kuweka kipingamizi chenye kukwaza mbele ya wana wa Israeli, kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.
-