Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wanawake hao wakaja kuwaita watu waende kwenye dhabihu za miungu yao,+ nao watu wakaanza kula na kuinamia miungu yao.+

  • Matendo 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kuendelea kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu+ na damu+ na vitu vilivyonyongwa+ na uasherati.+ Mkijiepusha kwa uangalifu na mambo haya,+ mtafanikiwa. Afya njema kwenu!”

  • 1 Wakorintho 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Katika barua yangu niliwaandikia ninyi mwache kuchangamana katika ushirika na waasherati,

  • 1 Wakorintho 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wala tusifanye uasherati, kama baadhi yao walivyofanya uasherati,+ na kuanguka, 23,000 kati yao katika siku moja.+

  • Waefeso 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana mnajua hili, nanyi mnalitambua wenyewe, kwamba hakuna mwasherati+ au mtu asiye safi au mtu mwenye pupa+—maana yake ni kuwa mwabudu-sanamu—aliye na urithi wowote katika ufalme wa Kristo na wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki