-
Yohana 11:57Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
57 Ilivyokuwa ni kwamba, wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa maagizo kwamba ikiwa yeyote angepata kujua alikokuwa, anapaswa kufunua hilo, ili wamkamate.
-