-
Yohana 11:57Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
57 Lakini wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa agizo kwamba ikiwa mtu yeyote angejua mahali alipo Yesu, alipaswa kuwajulisha ili wamkamate.
-
-
Yohana 11:57Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
57 Ilivyokuwa ni kwamba, makuhani wakuu na Mafarisayo walikuwa wametoa maagizo kwamba ikiwa yeyote angepata kujua alikokuwa, angepaswa kufunua hilo, ili waweze kumkamata.
-