Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Ikiwa aliyepigwa ni mtumwa au ni kijakazi, mwenye ng’ombe-dume atamlipa bwana wake bei ya shekeli 30,+ naye ng’ombe-dume atapigwa kwa mawe.

  • Zekaria 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo nikawaambia: “Ikiwa vema machoni penu,+ nipeni mshahara wangu; lakini kama sivyo, acheni.” Basi wakalipa mshahara wangu, vipande 30 vya fedha.+

  • Mathayo 27:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo Yuda, aliyemsaliti, alipoona kuwa amekwisha kuhukumiwa adhabu, akajuta, akavirudisha vile vipande 30+ vya fedha kwa wakuu wa makuhani na wanaume wazee,

  • Marko 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Waliposikia hilo, wakashangilia na kuahidi kumpa fedha.+ Kwa hiyo akaanza kutafuta jinsi ya kumsaliti kwa wakati unaofaa.+

  • Luka 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi, wakashangilia na kupatana kumpa fedha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki