Kutoka 21:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ikiwa aliyepigwa ni mtumwa au ni kijakazi, mwenye ng’ombe-dume atamlipa bwana wake bei ya shekeli 30,+ naye ng’ombe-dume atapigwa kwa mawe. Zekaria 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo nikawaambia: “Ikiwa vema machoni penu,+ nipeni mshahara wangu; lakini kama sivyo, acheni.” Basi wakalipa mshahara wangu, vipande 30 vya fedha.+ Mathayo 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Yuda, aliyemsaliti, alipoona kuwa amekwisha kuhukumiwa adhabu, akajuta, akavirudisha vile vipande 30+ vya fedha kwa wakuu wa makuhani na wanaume wazee, Marko 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waliposikia hilo, wakashangilia na kuahidi kumpa fedha.+ Kwa hiyo akaanza kutafuta jinsi ya kumsaliti kwa wakati unaofaa.+ Luka 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi, wakashangilia na kupatana kumpa fedha.+
32 Ikiwa aliyepigwa ni mtumwa au ni kijakazi, mwenye ng’ombe-dume atamlipa bwana wake bei ya shekeli 30,+ naye ng’ombe-dume atapigwa kwa mawe.
12 Ndipo nikawaambia: “Ikiwa vema machoni penu,+ nipeni mshahara wangu; lakini kama sivyo, acheni.” Basi wakalipa mshahara wangu, vipande 30 vya fedha.+
3 Ndipo Yuda, aliyemsaliti, alipoona kuwa amekwisha kuhukumiwa adhabu, akajuta, akavirudisha vile vipande 30+ vya fedha kwa wakuu wa makuhani na wanaume wazee,
11 Waliposikia hilo, wakashangilia na kuahidi kumpa fedha.+ Kwa hiyo akaanza kutafuta jinsi ya kumsaliti kwa wakati unaofaa.+