Mathayo 26:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kusema: “Mtanipa nini ili nimsaliti kwenu?”+ Wakamwagizia vipande 30 vya fedha.+ Marko 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waliposikia hilo, wakashangilia na kuahidi kumpa fedha.+ Kwa hiyo akaanza kutafuta jinsi ya kumsaliti kwa wakati unaofaa.+
11 Waliposikia hilo, wakashangilia na kuahidi kumpa fedha.+ Kwa hiyo akaanza kutafuta jinsi ya kumsaliti kwa wakati unaofaa.+