Matendo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, ‘Makao yake yawe na ukiwa, na pasiwe na mkaaji humo,’+ na, ‘Cheo chake cha uangalizi mtu mwingine na akichukue.’+
20 Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, ‘Makao yake yawe na ukiwa, na pasiwe na mkaaji humo,’+ na, ‘Cheo chake cha uangalizi mtu mwingine na akichukue.’+