Zaburi 109:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Siku zake na ziwe chache;+Cheo chake cha uangalizi mtu mwingine na akichukue.+ 1 Timotheo 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ni neno la uaminifu.+ Ikiwa mwanamume yeyote anajitahidi kufikia cheo cha mwangalizi,+ yeye anatamani kazi njema.
3 Ni neno la uaminifu.+ Ikiwa mwanamume yeyote anajitahidi kufikia cheo cha mwangalizi,+ yeye anatamani kazi njema.