-
Matendo 1:20Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
20 Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, ‘Acha mahali pake pa kukaa pawe ukiwa, na acha pasiwe na mkaaji ndani yapo,’ na, ‘Cheo chake cha uangalizi acha mtu mwingine achukue.’
-