20 Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, ‘Makao yake yabaki ukiwa, na pasiwe na mkaaji yeyote humo,’+ na, ‘Mtu mwingine na achukue cheo chake cha uangalizi.’+
20 Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, ‘Makao yake yawe na ukiwa, na pasiwe na mkaaji humo,’+ na, ‘Cheo chake cha uangalizi mtu mwingine na akichukue.’+