Marko 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa kweli, Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa kumhusu, lakini ole wake mtu yule ambaye kupitia kwake Mwana wa binadamu atasalitiwa! Ingalikuwa afadhali kama mtu huyo asingalizaliwa.”+ Waebrania 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 lakini kuna tarajio hakika lenye kuogopesha la hukumu+ na kuna wivu unaowaka moto ambao utawateketeza wale wanaopinga.+
21 Kwa kweli, Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa kumhusu, lakini ole wake mtu yule ambaye kupitia kwake Mwana wa binadamu atasalitiwa! Ingalikuwa afadhali kama mtu huyo asingalizaliwa.”+
27 lakini kuna tarajio hakika lenye kuogopesha la hukumu+ na kuna wivu unaowaka moto ambao utawateketeza wale wanaopinga.+