Mathayo 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Simoni Mkananayo,+ na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti.+ Luka 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Shetani akamwingia Yuda, anayeitwa Iskariote, ambaye alihesabiwa kati ya wale kumi na wawili;+ Yohana 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo, mlo wa jioni ulipokuwa ukiendelea, Ibilisi akiwa tayari ameweka ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni, amsaliti,+
3 Lakini Shetani akamwingia Yuda, anayeitwa Iskariote, ambaye alihesabiwa kati ya wale kumi na wawili;+
2 Kwa hiyo, mlo wa jioni ulipokuwa ukiendelea, Ibilisi akiwa tayari ameweka ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni, amsaliti,+