Isaya 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, mimi Ndiye nitakayewatendea tena watu hawa mambo ya ajabu,+Maajabu juu ya maajabu;Na hekima ya watu wao wenye hekima itatoweka,Na uelewaji wa watu wao wenye busara utafichwa.”+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 29:14 ip-1 299 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 29:14 Unabii wa Isaya 1, uku. 299
14 Kwa hiyo, mimi Ndiye nitakayewatendea tena watu hawa mambo ya ajabu,+Maajabu juu ya maajabu;Na hekima ya watu wao wenye hekima itatoweka,Na uelewaji wa watu wao wenye busara utafichwa.”+