Isaya 28:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana Yehova atasimama kama katika Mlima Perasimu,Atainuka kama katika bonde lililo* karibu na Gibeoni,+Ili afanye tendo lake —tendo lake la ajabu—Na ili afanye kazi yake—kazi yake isiyo ya kawaida.+ Habakuki 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Tazameni miongoni mwa mataifa, kazeni uangalifu! Tazameni kwa mshangao na kustaajabu;Kwa maana jambo fulani litatukia katika siku zenuAmbalo hamtaamini hata mkiambiwa.+
21 Kwa maana Yehova atasimama kama katika Mlima Perasimu,Atainuka kama katika bonde lililo* karibu na Gibeoni,+Ili afanye tendo lake —tendo lake la ajabu—Na ili afanye kazi yake—kazi yake isiyo ya kawaida.+
5 “Tazameni miongoni mwa mataifa, kazeni uangalifu! Tazameni kwa mshangao na kustaajabu;Kwa maana jambo fulani litatukia katika siku zenuAmbalo hamtaamini hata mkiambiwa.+