Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 28:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana Yehova atasimama kama katika Mlima Perasimu,

      Atainuka kama katika bonde lililo* karibu na Gibeoni,+

      Ili afanye tendo lake —tendo lake la ajabu—

      Na ili afanye kazi yake—kazi yake isiyo ya kawaida.+

  • Isaya 29:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo, mimi Ndiye nitakayewatendea tena watu hawa mambo ya ajabu,+

      Maajabu juu ya maajabu;

      Na hekima ya watu wao wenye hekima itatoweka,

      Na uelewaji wa watu wao wenye busara utafichwa.”+

  • Maombolezo 4:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova ameonyesha ghadhabu yake;

      Amemwaga hasira yake kali.+

      Anawasha moto Sayuni unaoteketeza misingi yake.+

      ל [Lamed]

      12 Wafalme wa dunia na wakaaji wote wa ardhi inayozaa hawakuamini

      Kwamba mpinzani na adui wangeingia katika malango ya Yerusalemu.+

  • Matendo 13:40, 41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kwa hiyo, jihadharini ili msipatwe na mambo haya yanayosemwa katika Manabii: 41 ‘Tazameni, ninyi wenye dharau, na mshangae na kuangamia, kwa sababu ninafanya kazi fulani katika siku zenu, kazi ambayo hamtaiamini kamwe hata mtu yeyote akiwaeleza kirefu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki