Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi nimejawa na ghadhabu ya Yehova,

      Nami nimechoka kuizuia ndani yangu.”+

      “Imwage juu ya mtoto aliye barabarani,+

      Juu ya vikundi vya vijana waliokusanyika pamoja.

      Wote watakamatwa, mwanamume pamoja na mke wake,

      Wazee pamoja na waliozeeka sana.*+

  • Yeremia 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema, ‘Tazama! Hasira yangu na ghadhabu yangu zitamwagwa mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na mazao ya ardhi; itateketeza na haitazimwa.’+

  • Ezekieli 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi nitawamwagia ghadhabu yangu na kuwaangamiza kabisa kwa moto wa ghadhabu yangu. Nitawaletea madhara ya njia yao juu ya kichwa chao wenyewe,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki