Yeremia 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wenye hekima wameaibishwa.+ Wameogopa nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova,Nao wana hekima gani? 1 Wakorintho 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima, nami nitaikataa* akili ya watu wenye akili.”+
9 Wenye hekima wameaibishwa.+ Wameogopa nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova,Nao wana hekima gani?
19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima, nami nitaikataa* akili ya watu wenye akili.”+