Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 25:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na mataifa yote yatakusanyika mbele yake,+ naye atawatenganisha watu,+ mmoja kutoka kwa mwenzake,+ kama vile mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.

  • Luka 19:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 nao watakuangusha chini wewe na watoto wako walio ndani yako,+ nao hawataacha jiwe juu ya jiwe+ ndani yako, kwa sababu hukufahamu wakati wa kukaguliwa kwako.”+

  • Matendo 17:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa sababu ameweka siku ambayo katika hiyo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua+ kutoka kwa wafu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki