3 Nanyi mtafanya nini katika ile siku ya kukaziwa uangalifu+ na wakati wa uharibifu, utakapokuja kutoka mbali?+ Je, mtamkimbilia nani kupata msaada,+ nanyi mtauacha wapi utukufu wenu,+
44 nao watakuangusha chini wewe na watoto wako walio ndani yako,+ nao hawataacha jiwe juu ya jiwe+ ndani yako, kwa sababu hukufahamu wakati wa kukaguliwa kwako.”+