Isaya 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nanyi mtafanya nini katika ile siku ya kukaziwa uangalifu+ na wakati wa uharibifu, utakapokuja kutoka mbali?+ Je, mtamkimbilia nani kupata msaada,+ nanyi mtauacha wapi utukufu wenu,+ Yeremia 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Kwa hiyo njia yao itakuwa kwao kama mahali penye utelezi+ gizani, ambapo watasukumwa ndani yake na hakika waanguke.”+ “Kwa maana nitaleta msiba juu yao, mwaka wa kuwakazia fikira,”+ asema Yehova.
3 Nanyi mtafanya nini katika ile siku ya kukaziwa uangalifu+ na wakati wa uharibifu, utakapokuja kutoka mbali?+ Je, mtamkimbilia nani kupata msaada,+ nanyi mtauacha wapi utukufu wenu,+
12 “Kwa hiyo njia yao itakuwa kwao kama mahali penye utelezi+ gizani, ambapo watasukumwa ndani yake na hakika waanguke.”+ “Kwa maana nitaleta msiba juu yao, mwaka wa kuwakazia fikira,”+ asema Yehova.