Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kuna kizazi cha watu ambao humlaani hata baba yao wala hawambariki hata mama yao.+

  • Ezekieli 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wamemtendea dharau baba na mama ndani yako.+ Wamemtendea mkaaji mgeni ndani yako kwa upunjaji.+ Wamewatendea vibaya mvulana asiye na baba na mjane ndani yako.” ’ ”+

  • Mathayo 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Zaidi ya hayo, mtu atamtoa ndugu+ yake afe, na baba mtoto wake, na watoto watainuka juu ya wazazi na kufanya wauawe.+

  • Luka 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Zaidi ya hayo, mtatolewa hata na wazazi+ na ndugu na jamaa zenu na rafiki zenu, nao watafanya wengine kati yenu wauawe;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki