Mika 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mwana anamdharau baba, binti anasimama kumpinga mama yake;+ binti-mkwe kumpinga mama-mkwe wake;+ adui za mtu ni watu wa nyumba yake.+ Mathayo 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo, pia, watu wengi watakwazika+ na kusalitiana na kuchukiana.+ Marko 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Zaidi ya hayo, ndugu atamtoa ndugu yake auawe, na baba atamtoa mtoto,+ na watoto watainuka juu ya wazazi na kufanya wauawe;+ Matendo 7:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Nao wakaendelea kumtupia Stefano mawe huku akiomba na kusema: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.”+
6 Kwa maana mwana anamdharau baba, binti anasimama kumpinga mama yake;+ binti-mkwe kumpinga mama-mkwe wake;+ adui za mtu ni watu wa nyumba yake.+
12 Zaidi ya hayo, ndugu atamtoa ndugu yake auawe, na baba atamtoa mtoto,+ na watoto watainuka juu ya wazazi na kufanya wauawe;+