Mika 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mwana anamdharau baba, binti anasimama kumpinga mama yake;+ binti-mkwe kumpinga mama-mkwe wake;+ adui za mtu ni watu wa nyumba yake.+ Mathayo 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Zaidi ya hayo, mtu atamtoa ndugu+ yake afe, na baba mtoto wake, na watoto watainuka juu ya wazazi na kufanya wauawe.+ Luka 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Zaidi ya hayo, mtatolewa hata na wazazi+ na ndugu na jamaa zenu na rafiki zenu, nao watafanya wengine kati yenu wauawe;+ 2 Timotheo 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 wasio na upendo wa asili,+ wasiotaka makubaliano yoyote,+ wachongezi,+ wasiojizuia, wakali,+ wasiopenda wema,+
6 Kwa maana mwana anamdharau baba, binti anasimama kumpinga mama yake;+ binti-mkwe kumpinga mama-mkwe wake;+ adui za mtu ni watu wa nyumba yake.+
21 Zaidi ya hayo, mtu atamtoa ndugu+ yake afe, na baba mtoto wake, na watoto watainuka juu ya wazazi na kufanya wauawe.+
16 Zaidi ya hayo, mtatolewa hata na wazazi+ na ndugu na jamaa zenu na rafiki zenu, nao watafanya wengine kati yenu wauawe;+
3 wasio na upendo wa asili,+ wasiotaka makubaliano yoyote,+ wachongezi,+ wasiojizuia, wakali,+ wasiopenda wema,+