Mathayo 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo, pia, watu wengi watakwazika+ na kusalitiana na kuchukiana.+ 2 Timotheo 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini ujue jambo hili, ya kwamba katika siku za mwisho+ kutakuwa na nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo.+
3 Lakini ujue jambo hili, ya kwamba katika siku za mwisho+ kutakuwa na nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo.+