20 Hasira ya Yehova haitarudi nyuma mpaka atakapokuwa ametenda+ na mpaka atakapokuwa ametimiza mawazo ya moyo wake.+ Katika siku za mwisho ninyi mtalifikiria jambo hilo kwa uelewaji.+
3 Alipokuwa ameketi juu ya Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakisema: “Tuambie, Mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”+
18 jinsi walivyokuwa wakiwaambia ninyi: “Wakati wa mwisho kutakuwako wadhihaki, wakienda kulingana na tamaa zao wenyewe kwa ajili ya mambo ya kutomwogopa Mungu.”+