Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hasira ya Yehova haitarudi nyuma mpaka atakapokuwa ametenda+ na mpaka atakapokuwa ametimiza mawazo ya moyo wake.+ Katika siku za mwisho ninyi mtalifikiria jambo hilo kwa uelewaji.+

  • Danieli 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nimekuja kukufanya utambue mambo yatakayowapata watu wako+ katika siku za mwisho,+ kwa kuwa hayo bado ni maono+ ya siku ambazo zitakuja.”+

  • Mathayo 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Alipokuwa ameketi juu ya Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakisema: “Tuambie, Mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”+

  • Yuda 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 jinsi walivyokuwa wakiwaambia ninyi: “Wakati wa mwisho kutakuwako wadhihaki, wakienda kulingana na tamaa zao wenyewe kwa ajili ya mambo ya kutomwogopa Mungu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki