24 Ndipo Samweli akawaambia watu wote: “Je, mmemwona yule ambaye Yehova amemchagua,+ kwamba hakuna yeyote kama yeye kati ya watu wote?” Nao watu wote wakaanza kupiga kelele na kusema: “Mfalme na aishi!”+
12 Kisha akamtoa nje mwana+ wa mfalme, akamvika taji+ na ule Ushuhuda;+ na basi wakamfanya kuwa mfalme+ na kumtia mafuta.+ Nao wakaanza kupiga makofi+ na kusema: “Mfalme na aishi!”+
11 Kisha wakamtoa nje mwana wa mfalme,+ wakamvika taji+ na ule Ushuhuda,+ wakamfanya kuwa mfalme, hivyo Yehoyada na wanawe wakamtia mafuta+ na kusema: “Mfalme na aishi!”+