Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 10:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo Samweli akawaambia watu wote: “Je, mmemwona yule ambaye Yehova amemchagua,+ kwamba hakuna yeyote kama yeye kati ya watu wote?” Nao watu wote wakaanza kupiga kelele na kusema: “Mfalme na aishi!”+

  • 2 Wafalme 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha akamtoa nje mwana+ wa mfalme, akamvika taji+ na ule Ushuhuda;+ na basi wakamfanya kuwa mfalme+ na kumtia mafuta.+ Nao wakaanza kupiga makofi+ na kusema: “Mfalme na aishi!”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha wakamtoa nje mwana wa mfalme,+ wakamvika taji+ na ule Ushuhuda,+ wakamfanya kuwa mfalme, hivyo Yehoyada na wanawe wakamtia mafuta+ na kusema: “Mfalme na aishi!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki