2 Samweli 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi nikasimama juu yake na kwa hakika nikamuua,+ kwa maana nilijua kwamba hangeishi baada ya kuanguka. Kisha nikachukua taji+ lililokuwa juu ya kichwa chake na kikuku kilichokuwa kwenye mkono wake, ili nivilete kwa bwana wangu hapa.” Zaburi 132:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Adui zake nitawavika aibu;+Lakini taji+ lake litasitawi juu yake.”+
10 Basi nikasimama juu yake na kwa hakika nikamuua,+ kwa maana nilijua kwamba hangeishi baada ya kuanguka. Kisha nikachukua taji+ lililokuwa juu ya kichwa chake na kikuku kilichokuwa kwenye mkono wake, ili nivilete kwa bwana wangu hapa.”