6 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki Mhiti,+ na Abishai+ mwana wa Seruya,+ ndugu ya Yoabu: “Ni nani atakayeshuka aende pamoja nami kwa Sauli kambini?” Naye Abishai akasema: “Mimi nitashuka pamoja nawe.”+
18 Naye Abishai+ ndugu ya Yoabu mwana wa Seruya,+ alikuwa kichwa cha wale 30, naye alitikisa mkuki wake juu ya watu 300 waliouawa, naye alikuwa na sifa kama wale watatu.+
20 Naye Abishai+ ndugu ya Yoabu,+ yeye alikuwa kichwa cha wale watatu; naye alitikisa mkuki wake juu ya watu 300 waliouawa, naye alikuwa na sifa kama wale watatu.