Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki Mhiti,+ na Abishai+ mwana wa Seruya,+ ndugu ya Yoabu: “Ni nani atakayeshuka aende pamoja nami kwa Sauli kambini?” Naye Abishai akasema: “Mimi nitashuka pamoja nawe.”+

  • 2 Samweli 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wale watu wengine waliobaki akawaweka mkononi mwa Abishai+ ndugu yake, ili awapange wakutane na wana wa Amoni.+

  • 2 Samweli 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Abishai+ ndugu ya Yoabu mwana wa Seruya,+ alikuwa kichwa cha wale 30, naye alitikisa mkuki wake juu ya watu 300 waliouawa, naye alikuwa na sifa kama wale watatu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Abishai+ ndugu ya Yoabu,+ yeye alikuwa kichwa cha wale watatu; naye alitikisa mkuki wake juu ya watu 300 waliouawa, naye alikuwa na sifa kama wale watatu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Abishai+ mwana wa Seruya,+ akawapiga Waedomu katika Bonde la Chumvi,+ watu kumi na nane elfu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki