2 Samweli 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wale wana watatu wa Seruya+ walikuwa hapo, Yoabu+ na Abishai+ na Asaheli;+ na Asaheli alikuwa mwepesi kwa miguu yake, kama mmoja wa swala+ walio porini. 1 Mambo ya Nyakati 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na dada zao walikuwa Seruya na Abigaili;+ na wana wa Seruya walikuwa Abishai+ na Yoabu+ na Asaheli,+ watatu.
18 Basi wale wana watatu wa Seruya+ walikuwa hapo, Yoabu+ na Abishai+ na Asaheli;+ na Asaheli alikuwa mwepesi kwa miguu yake, kama mmoja wa swala+ walio porini.
16 Na dada zao walikuwa Seruya na Abigaili;+ na wana wa Seruya walikuwa Abishai+ na Yoabu+ na Asaheli,+ watatu.