2 Samweli 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wale wana watatu wa Seruya+ walikuwa hapo, Yoabu+ na Abishai+ na Asaheli;+ na Asaheli alikuwa mwepesi kwa miguu yake, kama mmoja wa swala+ walio porini. 2 Samweli 3:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na Yoabu na Abishai+ ndugu yake, walimuua Abneri+ kwa sababu alikuwa amemuua Asaheli ndugu yao kule Gibeoni katika mapigano.+ 2 Samweli 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Asaheli+ ndugu ya Yoabu alikuwa kati ya wale 30; Elhanani+ mwana wa Dodo wa Bethlehemu,
18 Basi wale wana watatu wa Seruya+ walikuwa hapo, Yoabu+ na Abishai+ na Asaheli;+ na Asaheli alikuwa mwepesi kwa miguu yake, kama mmoja wa swala+ walio porini.
30 Na Yoabu na Abishai+ ndugu yake, walimuua Abneri+ kwa sababu alikuwa amemuua Asaheli ndugu yao kule Gibeoni katika mapigano.+