Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi wale wana watatu wa Seruya+ walikuwa hapo, Yoabu+ na Abishai+ na Asaheli;+ na Asaheli alikuwa mwepesi kwa miguu yake, kama mmoja wa swala+ walio porini.

  • 2 Samweli 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini akaendelea kukataa kugeuka kando; ndipo Abneri akampiga tumboni+ kwa ncha ya nyuma ya mkuki, hata mkuki ukatokea upande wake wa nyuma; akaanguka hapo, akafa papo hapo. Na ikawa kwamba watu wote waliofika mahali ambapo Asaheli alianguka kisha akafa wakawa wakisimama tuli.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na dada zao walikuwa Seruya na Abigaili;+ na wana wa Seruya walikuwa Abishai+ na Yoabu+ na Asaheli,+ watatu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 27:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wa nne kwa ajili ya mwezi wa nne alikuwa Asaheli,+ ndugu ya Yoabu,+ na Zebadia mwana wake baada yake, na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki