12 Wakati huo wote Amasa alikuwa akigaagaa katika damu+ katikati ya njia kuu. Mtu yule alipoona kwamba watu wote walisimama tuli, akamwondoa Amasa kutoka katika ile njia kuu mpaka kwenye shamba. Mwishowe akamfunika vazi, kwa sababu aliona kwamba kila mtu aliyefika kwake alisimama tuli.+