Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nami leo niko dhaifu ingawa nimetiwa mafuta+ niwe mfalme, na watu hawa, wana wa Seruya,+ ni wakali mno kwangu.+ Yehova na amlipe mwenye kufanya mabaya kulingana na ubaya wake mwenyewe.”+

  • 2 Samweli 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa juu ya jeshi; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani.

  • 2 Samweli 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini Amasa hakuwa mwangalifu juu ya ule upanga uliokuwa mkononi mwa Yoabu; naye akamchoma+ nao tumboni, na matumbo yake yakamwagika chini, wala hakuhitaji kurudia kufanya hivyo tena. Basi akafa. Na Yoabu na Abishai ndugu yake wakamfuatilia Sheba mwana wa Bikri.

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hivyo Daudi akasema: “Yeyote atakayewapiga+ Wayebusi kwanza, atakuwa kichwa na mkuu.” Na Yoabu+ mwana wa Seruya akapanda kwanza, naye akawa kichwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki