Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Sasa ikiwa amempiga kwa chombo cha chuma akafa, yeye ni muuaji wa kukusudia.+ Lazima muuaji huyo wa kukusudia auawe.+

  • 2 Samweli 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Abneri aliporudi Hebroni,+ Yoabu akampeleka kando ndani ya lango ili aseme naye kimyakimya.+ Hata hivyo, hapo akampiga tumboni,+ hata akafa kwa sababu ya damu ya Asaheli+ ndugu yake.

  • 1 Wafalme 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nawe mwenyewe pia unajua vema jinsi Yoabu mwana wa Seruya alivyonitendea+ kwa jinsi alivyowatendea wakuu wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri+ mwana wa Neri na Amasa+ mwana wa Yetheri,+ alipowaua na kumwaga damu+ ya vita wakati wa amani na kutia damu ya vita katika mshipi wake uliokuwa kiunoni mwake na katika viatu vyake vilivyokuwa miguuni mwake.

  • Zaburi 55:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+

      Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+

      Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki