Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “‘Nanyi msiichafue nchi mliyo ndani yake; kwa sababu damu ndiyo inayoichafua nchi,+ na kwa ajili ya nchi hakuwezi kuwa na upatanisho kuhusu damu ambayo imemwagwa juu yake isipokuwa kwa damu ya yule anayeimwaga.+

  • 2 Samweli 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wakati Daudi aliposikia habari hizo baadaye, mara moja akasema: “Kwa maoni ya Yehova, mimi na ufalme wangu hatuna hatia ya damu+ ya Abneri mwana wa Neri mpaka wakati usio na kipimo.

  • 2 Samweli 3:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na Yoabu na Abishai+ ndugu yake, walimuua Abneri+ kwa sababu alikuwa amemuua Asaheli ndugu yao kule Gibeoni katika mapigano.+

  • 1 Wafalme 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kisha mfalme akamwambia: “Fanya kama alivyosema, mshambulie; nawe umzike na kuondoa juu yangu na juu ya nyumba ya baba yangu damu+ ambayo Yoabu alimwaga isivyostahili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki