33 “‘Nanyi msiichafue nchi mliyo ndani yake; kwa sababu damu ndiyo inayoichafua nchi,+ na kwa ajili ya nchi hakuwezi kuwa na upatanisho kuhusu damu ambayo imemwagwa juu yake isipokuwa kwa damu ya yule anayeimwaga.+
28 Wakati Daudi aliposikia habari hizo baadaye, mara moja akasema: “Kwa maoni ya Yehova, mimi na ufalme wangu hatuna hatia ya damu+ ya Abneri mwana wa Neri mpaka wakati usio na kipimo.
31 Kisha mfalme akamwambia: “Fanya kama alivyosema, mshambulie; nawe umzike na kuondoa juu yangu na juu ya nyumba ya baba yangu damu+ ambayo Yoabu alimwaga isivyostahili.+