Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.

  • Hesabu 35:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “‘Nanyi msiichafue nchi mliyo ndani yake; kwa sababu damu ndiyo inayoichafua nchi,+ na kwa ajili ya nchi hakuwezi kuwa na upatanisho kuhusu damu ambayo imemwagwa juu yake isipokuwa kwa damu ya yule anayeimwaga.+

  • Kumbukumbu la Torati 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Jicho lako lisimsikitikie,+ nawe lazima uondolee mbali hatia ya damu isiyo na hatia kutoka katika Israeli,+ ili uwe na mema.

  • Kumbukumbu la Torati 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wewe—wewe utaondolea mbali hatia ya damu kutoka katikati yako,+ kwa sababu utafanya yaliyo sawa machoni pa Yehova.+

  • 2 Wafalme 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ‘ “Hakika niliona jana damu+ ya Nabothi na damu ya wanawe,”+ asema Yehova, “nami hakika nitakulipa+ wewe katika sehemu hii ya shamba,” asema Yehova.’ Basi sasa, mwinue; mtupe katika ile sehemu ya shamba kulingana na neno la Yehova.”+

  • Methali 28:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mtu aliyelemewa na hatia ya damu ya nafsi atalikimbilia shimo.+ Watu wasimzuie.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki