Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.

  • 1 Wafalme 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Je, umeua+ na pia ukamiliki?”’+ Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Mahali+ ambapo mbwa waliiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba damu yako, ndiyo, damu yako.”’”+

  • Mathayo 27:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi akatupa vile vipande vya fedha hekaluni akaondoka, akaenda zake akajinyonga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki