-
1 Wafalme 2:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 “Nawe mwenyewe pia unajua vema jinsi Yoabu mwana wa Seruya alivyonitendea+ kwa jinsi alivyowatendea wakuu wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri+ mwana wa Neri na Amasa+ mwana wa Yetheri,+ alipowaua na kumwaga damu+ ya vita wakati wa amani na kutia damu ya vita katika mshipi wake uliokuwa kiunoni mwake na katika viatu vyake vilivyokuwa miguuni mwake.
-