Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo.+

  • Mwanzo 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.

  • Kutoka 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Yule anayempiga mtu na kumuua lazima atauawa.+

  • Hesabu 35:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 au ikiwa kwa uadui amempiga kwa mkono wake ili afe, lazima mpigaji huyo atauawa. Yeye ni muuaji wa kukusudia. Mlipiza-kisasi cha damu atamuua yule muuaji wa kukusudia akimkuta.+

  • Hesabu 35:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “‘Nanyi msiichafue nchi mliyo ndani yake; kwa sababu damu ndiyo inayoichafua nchi,+ na kwa ajili ya nchi hakuwezi kuwa na upatanisho kuhusu damu ambayo imemwagwa juu yake isipokuwa kwa damu ya yule anayeimwaga.+

  • Kumbukumbu la Torati 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wewe—wewe utaondolea mbali hatia ya damu kutoka katikati yako,+ kwa sababu utafanya yaliyo sawa machoni pa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki