21 au ikiwa kwa uadui amempiga kwa mkono wake ili afe, lazima mpigaji huyo atauawa. Yeye ni muuaji wa kukusudia. Mlipiza-kisasi cha damu atamuua yule muuaji wa kukusudia akimkuta.+
33 “‘Nanyi msiichafue nchi mliyo ndani yake; kwa sababu damu ndiyo inayoichafua nchi,+ na kwa ajili ya nchi hakuwezi kuwa na upatanisho kuhusu damu ambayo imemwagwa juu yake isipokuwa kwa damu ya yule anayeimwaga.+