Mwanzo 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na, tena, damu ya nafsi zenu nitaitaka. Kwa mkono wa kila kiumbe kilicho hai nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa kila mmoja ambaye ni ndugu yake, nitaitaka nafsi ya mwanadamu.+ Kutoka 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yule anayempiga mtu na kumuua lazima atauawa.+ Mambo ya Walawi 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Na ikiwa mtu ataipiga nafsi yoyote ya mwanadamu kiasi cha kuiua, lazima atauawa.+ Kumbukumbu la Torati 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ndipo wanaume wazee wa jiji lake watatuma watu na kumchukua kutoka humo, nao watamtia mkononi mwa mlipiza-kisasi cha damu, naye lazima afe.+
5 Na, tena, damu ya nafsi zenu nitaitaka. Kwa mkono wa kila kiumbe kilicho hai nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa kila mmoja ambaye ni ndugu yake, nitaitaka nafsi ya mwanadamu.+
12 ndipo wanaume wazee wa jiji lake watatuma watu na kumchukua kutoka humo, nao watamtia mkononi mwa mlipiza-kisasi cha damu, naye lazima afe.+