2 Samweli 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Yoabu alikuwa juu ya jeshi+ lote la Israeli; na Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa juu ya Wakerethi+ na juu ya Wapelethi.+ 1 Mambo ya Nyakati 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hivyo Daudi akasema: “Yeyote atakayewapiga+ Wayebusi kwanza, atakuwa kichwa na mkuu.” Na Yoabu+ mwana wa Seruya akapanda kwanza, naye akawa kichwa.
23 Na Yoabu alikuwa juu ya jeshi+ lote la Israeli; na Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa juu ya Wakerethi+ na juu ya Wapelethi.+
6 Hivyo Daudi akasema: “Yeyote atakayewapiga+ Wayebusi kwanza, atakuwa kichwa na mkuu.” Na Yoabu+ mwana wa Seruya akapanda kwanza, naye akawa kichwa.