2 Na zaidi ya hayo, Daudi akapeleka sehemu ya tatu+ ya watu iwe chini ya mkono wa Yoabu+ na sehemu ya tatu chini ya mkono wa Abishai+ mwana wa Seruya, ndugu ya Yoabu,+ na sehemu ya tatu chini ya mkono wa Itai+ Mgathi. Kisha mfalme akawaambia watu: “Mimi pia hakika nitaenda pamoja nanyi.”
2 Basi mfalme akamwambia Yoabu,+ mkuu wa majeshi aliyekuwa pamoja naye: “Tafadhali, tembea katika makabila yote ya Israeli, kutoka Dani mpaka Beer-sheba,+ nanyi mwandikishe watu,+ nami kwa hakika nitaijua hesabu ya watu.”+
15 Na ikawa, Daudi alipopiga Edomu,+ wakati Yoabu mkuu wa jeshi alipokuja kuzika waliouawa, kwamba alijaribu kumpiga na kumuua kila mwanamume katika Edomu.+