Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakati Daudi aliposikia habari hizo, akatuma Yoabu na jeshi lote na wanaume wenye nguvu.+

  • 2 Samweli 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na zaidi ya hayo, Daudi akapeleka sehemu ya tatu+ ya watu iwe chini ya mkono wa Yoabu+ na sehemu ya tatu chini ya mkono wa Abishai+ mwana wa Seruya, ndugu ya Yoabu,+ na sehemu ya tatu chini ya mkono wa Itai+ Mgathi. Kisha mfalme akawaambia watu: “Mimi pia hakika nitaenda pamoja nanyi.”

  • 2 Samweli 24:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi mfalme akamwambia Yoabu,+ mkuu wa majeshi aliyekuwa pamoja naye: “Tafadhali, tembea katika makabila yote ya Israeli, kutoka Dani mpaka Beer-sheba,+ nanyi mwandikishe watu,+ nami kwa hakika nitaijua hesabu ya watu.”+

  • 1 Wafalme 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na ikawa, Daudi alipopiga Edomu,+ wakati Yoabu mkuu wa jeshi alipokuja kuzika waliouawa, kwamba alijaribu kumpiga na kumuua kila mwanamume katika Edomu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hivyo Daudi akasema: “Yeyote atakayewapiga+ Wayebusi kwanza, atakuwa kichwa na mkuu.” Na Yoabu+ mwana wa Seruya akapanda kwanza, naye akawa kichwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki