2 Samweli 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Haya ndiyo majina ya wale wanaume wenye nguvu+ waliokuwa wa Daudi: Yosheb-bashebethi+ Mtakemoni, kichwa cha wale watatu. Alikuwa akitikisa mkuki wake juu ya watu mia nane waliouawa kwa wakati mmoja. 1 Mambo ya Nyakati 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati Daudi aliposikia habari hizo, akatuma haraka Yoabu+ na jeshi lote na wanaume wenye nguvu.+
8 Haya ndiyo majina ya wale wanaume wenye nguvu+ waliokuwa wa Daudi: Yosheb-bashebethi+ Mtakemoni, kichwa cha wale watatu. Alikuwa akitikisa mkuki wake juu ya watu mia nane waliouawa kwa wakati mmoja.