1 Samweli 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki Mhiti,+ na Abishai+ mwana wa Seruya,+ ndugu ya Yoabu: “Ni nani atakayeshuka aende pamoja nami kwa Sauli kambini?” Naye Abishai akasema: “Mimi nitashuka pamoja nawe.”+ 2 Samweli 3:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na Yoabu na Abishai+ ndugu yake, walimuua Abneri+ kwa sababu alikuwa amemuua Asaheli ndugu yao kule Gibeoni katika mapigano.+ 2 Samweli 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wale watu wengine waliobaki akawaweka mkononi mwa Abishai+ ndugu yake, ili awapange wakutane na wana wa Amoni.+ 2 Samweli 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Daudi akamwambia Abishai:+ “Sasa Sheba+ mwana wa Bikri atakuwa mbaya kwetu kuliko Absalomu.+ Wewe wachukue watumishi+ wa bwana wako, umfuatilie, asije akajipatia majiji yenye ngome na kukimbia kutoka machoni petu.”
6 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki Mhiti,+ na Abishai+ mwana wa Seruya,+ ndugu ya Yoabu: “Ni nani atakayeshuka aende pamoja nami kwa Sauli kambini?” Naye Abishai akasema: “Mimi nitashuka pamoja nawe.”+
30 Na Yoabu na Abishai+ ndugu yake, walimuua Abneri+ kwa sababu alikuwa amemuua Asaheli ndugu yao kule Gibeoni katika mapigano.+
10 Na wale watu wengine waliobaki akawaweka mkononi mwa Abishai+ ndugu yake, ili awapange wakutane na wana wa Amoni.+
6 Ndipo Daudi akamwambia Abishai:+ “Sasa Sheba+ mwana wa Bikri atakuwa mbaya kwetu kuliko Absalomu.+ Wewe wachukue watumishi+ wa bwana wako, umfuatilie, asije akajipatia majiji yenye ngome na kukimbia kutoka machoni petu.”