Mwanzo 19:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii. Hesabu 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+ 1 Mambo ya Nyakati 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na wale watu wengine waliobaki akawaweka mkononi mwa Abishai+ ndugu yake, ili wajipange kukutana na wana wa Amoni.+
38 Yule mdogo pia akazaa mwana. Akamwita jina lake Ben-ami. Yeye ndiye baba ya wana wa Amoni,+ mpaka leo hii.
24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+
11 Na wale watu wengine waliobaki akawaweka mkononi mwa Abishai+ ndugu yake, ili wajipange kukutana na wana wa Amoni.+